Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Aliyemuokoa Tundu Lissu ateuliwa na Magufuli

Jumanne , 8th Jan , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli, leo amefanya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri na kuteua Mawaziri, Makatibu wakuu na Balozi, ambapo miongoni mwa watu walioteuliwa ni daktari aliyeongoza timu ya matabibu kumuokoa Tundu Lissu alipopigwa Risasi mwaka 2017.

Dkt. Mpoki Ulisubisya aliyekuwa Katibu Mkuu Wizara ya Afya, ameteuliwa kuwa Balozi ambaye Ubalozi wake bado haujatangazwa, na ndiye aliyeongoza timu ya madaktari kumuokoa Tundu Lissu mkoani Dodoma.

Uteuzi huo ambao umetangazwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi, pia Rais Magufuli amemteua Bi. Angela Kairuki kuwa Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu / Uwekezaji, na kumpandisha cheo Naibu Waziri wa Madini Dotto Biteko kuwa Waziri wa Madini, na Naibu wa pili wa wizara hiyo Stanslaus Nyongo kuendelea kuwa Naibu Waziri.

Pia Rais Magufuli ameteua Makatibu Wakuu wanne, na Naibu Makatibu Wakuu wawili, ili kujaza nafasi za Makatibu Wakuu waliostaafu.

TAZAMA ORODHA KAMILI HAPA CHINI:

Angela Kairuki – Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu/Uwekezaji
Dotto Biteko – Waziri wa Madini
Stanslaus Nyongo – Naibu Waziri Madini

Joseph Nyamhanga - Katibu Mkuu TAMISEMI

Zainabu Chaula – Katibu Mkuu Afya

Elius Mwakalinga – Katibu Mkuu Ujenzi

Doroth Mwaluko – Katibu Mkuu Sera

Doroth Gwajima - Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI

Francis K Michael - Naibu Katibu Mkuu UTUMISHI

Sambamba na hayo yote Rais Magufuli amefungua Ubalozi mpya wa Tanzania nchini Cuba ambao utakuwa katika mji wa Havana, na Balozi wake atatangazwa hivi karibuni.

 

 

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali