Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli atangaza kufungua vyuo, kidato cha 6

Alhamisi , 21st Mei , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kuwa kuanzia Juni Mosi, 2020 vyuo pamoja na kidato cha sita vitafunguliwa kuendelea na masomo.

Rais Magufuli

Amesema hayo katika hotuba yake alipokuwa akiwaapisha Naibu Waziri wa Afya, mabalozi, Katibu Tawala na Mkurugenzi wa TAKUKURU leo Mei 21, Jijini Dodoma.

Amesema kuwa vyuo vyote viofunguliwe tarehe moja Juni na kuitaka Wizara ya Elimu na Wizara ya Fedha kuandaa utaratibu mzuri wa wanafunzi kupata mikopo watakapofika vyuoni na kuhusu wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari, utaratibu utatolewa hapo baadaye.

"Tumeamua sisi kama Serikali vyuo vyote vifunguliwa tarehe moja Juni, 2020. Niwaombe sana wizara zinahohusika hasa Wizara ya Elimu na Wizara ya Fedha ambayo inahusika katika kutoa mikopo, ina siku 9 zijiandae ili vyuo vitakapofunguliwa kusiwe na kero zingine", amesema.

"Ukianchana vyuo, vijana wa kidato cha sita walio katika mitihani yao nao warudi shuleni kuanzia Juni 1 na wizara ipange mpango mzuri ili wanafunzi wafanye mitihani yao bila kuathiri mpango wa kwenda Chuo Kikuu", ameongeza.

Aidha Rais Magufuli amesema kuwa kuanzia Juni Mosi shughuli za michezo, ikiwemo Ligi Kuu ya Soka, Ligi Daraja la Kwanza na Michezo ya Majeshi nazo zitarejea lakini kwa kuzingatia utaratibu hasa wa mashabiki kutazama, utakaotolewa na Wizara ya Afya.

Pamoja na hayo Rais Magufuli amewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari juu ya ugonjwa wa COVID-19 kwani licha ya kupungua nchini, lakini bado upo hivyo tahadhari zinapaswa kuendelea.

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa