Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli atoa ofa ya siku 3

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amelitaka jopo la madaktari na wataalamu wa masuala ya moyo kutoka Israel kutenga muda maalum kwa ajili ya kutembelea baadhi ya vivutio vya utalii hapa nchini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Akizungumza na jopo hilo la madaktari Ikulu Jijini Dar es salaam Rais Magufuli ametangaza kuwapa siku 3 wataalamu hao kwa ajili ya kwenda kufurahia kwenye mbuga ya Serengeti na Ngorongoro.

Niwaombe mtenge siku 2 au siku 3 tuwapeleke kwenye mbuga zetu hamtalipa chochote, ofa ni kutoka kwetu na kama mtakubali mi nawapa ofa, kwa ajili ya kuwapa muda kupumzika kwa sababu mtakuwa mmefanya kazi kubwa ya kushughulika na masuala ya moyo.”

Wataalamu hao wamekuja nchini kwa ajili ya kutoa huduma za bure za moyo, pamoja na kutoa mafunzo kwa madaktari nchini ambapo Rais Magufuli aliishukuru Israel kwa mafunzo hayo na kuongeza serikali inafanya juhudi mbalimbali za kuhakikisha inaboresha huduma za afya nchini.

Tanzania itaendelea kushirikiana na Israel, itashirikiana na Marekani na ndiyo maana katika awamu hii niliamua kufungua Ubalozi kwa makusudi wa Israel, urafiki kati ya Tanzania na Israel utaendelea kudumu

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu