Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli azungumzia afya ya Mama yake

Jumamosi , 13th Apr , 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amesema licha ya Mama yake mzazi kwa sasa anaumwa lakini hana sababu ya yeye kuchelewa kuhamia Dodoma kutokana na ahadi ambayo aliitoa.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizindua Mji wa Serikali ambapo amebainisha naada ya viongozi wakuu wa kitaifa kuhamia huko yeye yuko njiani kuhamia Dodoma.

Rais Magufuli amesema "nakuja Dodoma nilichelewa kidogo baada ya kuuguliwa na Mama yangu, ambaye mpaka sasa bado yupo hospitalini hawezi kuzungumza, hawezi kula lakini nawahakikishia nakuja Dodoma kwa sababu hakuna cha kunichelewesha kuja Dodoma."

Aidha Rais Magufuli ameongeza kuwa "wakati natoa ahadi wapo watu wachache ambao hawakuamini kama tutahamia Dodoma, na walikuwa na sababu ya kutoamini, kama tulishindwa kwa miaka 40, tungewezaje kwa miaka 3 lakini ahadi huwa ni deni."

Katika hatua nyingine Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Jenerali Mabeyo amesema kuwa "ndani ya nchi yetu kwa kushirikiana na vyombo vingine tutawalinda wananchi na mali zao, tutakabiliana na matishio ndani ya nchi yetu, na sasa hivi tunaendelea kufuatilia kauli tata zinazoashiria uchochezi na machafuko ndani ya nchi yetu"

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri