Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Magufuli azungumzia hali ya Corona nchini

Jumatatu , 20th Jul , 2020

Rais Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Tanzania imebaki kuwa nchi salama, kwa kuwa ilifanikiwa kutokomeza mbali maambukizi ya Virusi vya Corona baada ya kumtanguliza Mungu na ndiyo maana hata watalii wameendelea kumiminika nchini kwa kuwa wanao uhakika na usalama wa maisha yao.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli ametoa kauli hiyo hii leo Julai 20, 2020, wakati akizungumza na viongozi aliowateua mara baada ya kula viapo Ikulu ya Chamwino Jijini Dodoma.

"Wizara ya Maliasili nimeanza kuona watalii wengi wanakuja, kuna ndege zinaleta watalii wengi, watu wameangalia na wameuona ukweli kwamba hapa Tanzania tuko salama, maadui zetu watazungumza mengi, hata hapa tungekuwa tumevaa barakoa, lakini hakuna aliyevaa hapa ni kwa sababu tuko salama kwani sisi hatuogopi kufa?, lakini Corona iko mbali huko, tuliamua kumuomba Mungu na akatusikia" amesema Rais Magufuli.

Viongozi waliopishwa hii leo ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Njombe, DC Ilala, Rombo, Maswa, Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji. 
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali