Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Morsi aanguka mahakamani na kufariki dunia

Jumatatu , 17th Jun , 2019

Rais wa zamani wa Misri, aliyetimuliwa madarakani na jeshi mwaka 2013 Mohammed Morsi, amefariki dunia ghafla akiwa mahakamani, leo Juni 17, 2019 ambapo alikuwa amehudhuria kesi yake.

Mohammed Morsi alipokuwa gerezeni.

Kwa mujibu wa runinga ya taifa ya Misri, Morsi alifika mahakamani akiwa amefunikwa kitambaa cheusi, ambapo muda mfupi baadaye alianguka na kufariki dunia hapo hapo.

Taairifa ya Television hiyo, imeeleza kuwa mwili wa Morsi umepelekwa hospitali kwaajili ya uchunguzi zaidi na baadaye kuhifadhiwa.

Mohammed Morsi alichaguliwa kuwa Rais wa kwanza wa kidemokrasia nchini Misri mwaka 2012 baada ya nchi hiyo kuongozwa kwa muda mrefu na mtawala wa zamani Hosni Mubarak aliyeondoka madarakani mwaka 2011. 

Mwaka mmoja baadaye mnamo 2013, akaondolewa madarakani kwa mapinduzi ya jeshi, kufuatia maandamano makubwa ya raia, kupinga utawala wake ambapo alifunguliwa mashtaka dhidi ya makosa ya uharifu wa kibidamu na ugaidi.

Morsi alikumiwa kifo akilaumiwa kuhusika na kutoroka kwa wafungwa wengi wakati wa mapinduzi ya mwaka 2011 nchini humo, lakini Mahakama nchini Misri ilibatilisha hukumu ya kifo mwaka 2016 hivyo rufaa yake ikaendelea kusikilizwa hadi leo kifo kilipomkuta.
 

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP