Kushoto ni Rais Samia Suluhu Hassan, na kulia ni Hayati Dkt. John Magufuli
Kauli hiyo ameitoa hii leo Februari 9, 2022, wakati akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa barabara ya wa nje wa jiji la Dodoma.
"Siku kama ya leo mimi mwenzenu toka asubuhi huwa nasikia sauti ya mtangulizi wangu Hayati Dkt. John Magufuli, ananiambia kuhusu miradi hii, kuhusu Dodoma kuwa Makao Makuu, kuhusu mambo mengi," amesema Rais Samia
Tazama video hapa chini

