Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Rais apongezwe anapofanya jema" - Mbowe

Ijumaa , 18th Aug , 2017

Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amewataka watu wanaosimamia usalama wa nchi wawe makini kwa kile wanachokilinda lasivyo watajikuta wanaiteketeza nchi bila ya wao wenyewe kujijua.

Mbowe ameeleza hayo katika mkutano na waandishi wa habari uliyofanyika leo na kusema kauli za kiongozi wa taifa ni za msingi pale zinapotolewa kulingana na Katiba, Sheria pamoja na mikataba ambayo kama nchi inaingia nayo kwa namna moja ama nyingine.

"Taifa lolote huongozwa na katiba pamoja na Sheria zake, na sheria huongozwa na kanuni. Tunapokuwa tunapuuza sheria zetu 'automatically' tunapuuza mikataba yetu. Mtawala anapofikili yeye yupo juu ya sheria, juu ya mikataba, mwisho wa siku wanaoumia ni watanzania. Kwa sababu Jumuiya na Jamii za Kimataifa inatambua sheria za Tanzania na wala haitambui kauli za viongozi wa taifa. Rais apongezwe pale anapofanya jambo jema lakini afanye jambo jema kwa misingi ya Sheria, Katiba na Kanuni ikiwemo na mikataba tuliyojiwekea", alisema Mbowe.

Pamoja na hayo, Mhe. Mbowe aliendelea kwa kusema "tusiwe wepesi wa kushangilia kila analolizungumza Rais kufikilia ni jambo jema hata kama lina sound vizuri katika masikio yetu. Lazima kama taifa tusimame, anapostahili pongezi tumpe na anapostahili lawama tumpe bila ya kuogopa tusiwe taifa la uoga"

Kwa upande mwingine, Mhe. Mbowe amesema hata Mwalimu Nyerere aliwaasa wasiwe taifa la uoga kwa kuwa watawaliwa na mtu ambaye hashauriki kwa jambo lolote.
 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa