
Rais Dkt. John Magufuli, akipitisha kapu la sadaka kwa waumini wakati wa ibada Takatifu ya Sikukuu ya Christmas
Katika ibada hiyo Rais Dkt. Magufuli pia amepitisha kapu la sadaka kwa waumini wa kanisa hilo.
Sikukuu ya Christmas huazimishwa kila ifikapo Desemba 25, kila mwaka, na wakristo husherehekea kuzaliwa kwake Yesu Kristo zaidi ya miaka 2,000 iliyopita.