Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC aeleza kufungwa kwa mipaka kulivyoleta chuki

Jumanne , 19th Mei , 2020

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martin Shigella, amesema kuwa kitendo cha Watanzania kuzuiliwa kuingia nchini Kenya, kimeleta chuki kubwa kati ya wananchi wanaoishi katika mpaka wa Horohoro na kuona kwamba Serikali ya Tanzania imekuwa na busara za wao kuendelea kuwaruhusu Wakenya kuja nchini.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martin Shigella.

RC Shigella ameyabainisha hayo leo Mei 19, 2020, kwenye kipindi cha SupaBreakfast ya East Africa Radio na kusema kuwa hiyo nayo ni moja ya sababu ya kuzuia Wakenya, wanaopitia mpaka wa Horohoro kuingia nchini kwa sababu hata wao, wana maambukizi ya Virusi vya Corona, kama ambavyo wamekuwa wakiwatangaza Watanzania kuwa wana maambukizi.

"Walio wengi wanapata huduma huku kwetu kuliko Watanzania wanaopata huduma Mombasa na hii imeleta chuki kati ya wananchi walioupande wa Horohoro na Mombasa, wanaona kwamba sisi tumekuwa na busara sana, haiwezekani walioko upande wa Horohoro wazuiliwe kwenda Kenya halafu wao waruhusiwe kuja kwetu ili hali na wao wana Corona hivyo na sisi wanatuletea maambukizi" amesema RC Tanga.

Aidha akizungumzia wale madereva ambao ni raia wa Kenya, lakini wanasafirisha mizigo kupeleka maeneo mengine kama Congo, RC Shigella amesema, "Hatutaruhusu Mkenya anayepita ndani ya nchi yetu kuelekea nchi zingine za Zambia ama Congo, kwa sababu tunaushahidi wa kutosha kwamba walio wengi wana maambukizi ya Virusi vya Corona".

 

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa