Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Hapi aagiza mkandarasi akamatwe

Jumatano , 6th Jul , 2022

Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Hapi amwagiza OCD Wilaya ya Butiama kumkamata   mkandarasi wa kampuni ya Chabhoke Construction Co.Ltd ya Serengeti  Sylevester Bija  

Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Hapi

Aidha amemuagiza Mkurugenzi kumtaka Mhandisi wa majengo wa Halmashauri ya Butiama kutoa maelezo ya kutosha baada ya kutumia mbao za kenchi zisizo na dawa kuezeka katika  jengo la kitengo cha dharura kwenye Hospitali ya Wilaya ikiwa ni kinyume na maelekezo ya Serikali.

Amebainisha hayo wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa Hospitali hiyo ambapo alikuta mbao zilizotumika katika kuezeka jengo hilo ni mbao ambazo hazijatibiwa na dawa za kuzuia kubunguliwa na wadudu.

"Haiwezekani kukubali kuona  vifaa vyinavyotumika katika ujenzi wa miradi yetu vinatumika ambavyo sio vilivyo katika makubaliano ya mkataba" amesema Hapi

Aidha kwa upande wao viongozi wa halmashauri hiyo walitupia lawama kwa mkandatasi huyo kwa kufanya kazi kwa kiburi na kutokufuata maelekezo anayopewa na viongozi mara kwa mara na kujikuta miradi huo ukichelewa kukamilika.

"Mkandarasi amekuwa akipatiwa maelekezo ya mara kwa mara lakini anakaidi na kufanya kazi hii kwa atakavyo yeye " amesema Peter Wanzagi.

" Tuliweka haya utaratibu wa kutumia daftari katika ujenzi huu lakini huyu mkandarasi amekaidi matumizi ya daftari hilo lakini wakandarasi wenzie wanaojenga jengo la mama na mtoto wanatumia utaratibu huo" amesema Juma Mfanga Mfanga Mkuu Mkoa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali