
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera ametoa maagizo hayo wakati anafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya ujenzi inayotekelezwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya
Aidha RC Homera amepongeza uongozi mpya wa hospitali hiyo kujitahidi kuongeza ukusanyaji wa mapato