Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RC Makalla apiga marufuku uchimbaji kokoto Boko

Alhamisi , 26th Mei , 2022

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla ameamuru kusimamia kwa Shughuli zote za uchimbaji wa madini kwenye eneo la mwekezaji Boko lililovamiwa huku akitoa wiki moja kwa Wavamizi kuondoa mali na kokoto walizochimba Mara moja.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Amos Makalla

RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea eneo Hilo lenye ukubwa wa hekta 70 ambapo tayari Mahakama ilishatoa haki kwa Kiwanda Cha Al Hushiim Investment ltd ambao ndio mmiliki halali.

RC Makalla ametoa maelekezo hayo alipotembelea eneo Hilo lenye ukubwa wa hekta 70 ambapo tayari Mahakama ilishatoa haki kwa Kiwanda Cha Al Hushiim Investment ltd ambao ndio mmiliki halali.

Aidha RC Makalla amesema eneo Hilo ni mahususi kwaajili ya Shughuli za uchimbaji wa madini ambapo amepiga marufuku eneo kutumika Kama Makazi na kuelekeza kuanza kwa mchakato wa Kiwanda Cha saruji.

Hata hivyo RC Makalla ameelekeza Jeshi la Polisi kuanza doria ya kulinda eneo Hilo kwa kushirikiana na walinzi wa kampuni hiyo ambapo amesema Magari yatakayoruhusiwa kuingia ni Yale yanayokwenda kuchukuwa mzigo pekee na sio uchimbaji.

Pamoja na hayo RC Makalla amemuelekeza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Godwin Gondwe kufika kwenye eneo baada siku Saba kuanzia leo ili kujirudhisha.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali