Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rosa Ree awataka wanawake wasiwahukumu wanaume

Alhamisi , 12th Dec , 2019

Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree, ameibuka na kuwataka wanawake wasihukumu wanaume wote kwenye mahusiano sababu waliumizwa na mwanaume mmoja, badala yake wawape nafasi.

Msanii wa HipHop nchini Rosa Ree.

Rosa Ree ametoa kauli hiyo wakati akizungumza kwenye kipindi cha PlanetBongo cha East Africa Radio, kinachoruka kila Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa 7 Mchana hadi saa 10 kamili jioni.

Rosa Ree amesema kuwa "mwanamke ukitongozwa na Mwinyi, usijekusema eti wanaume wote ni Majibwa sababu JR alikuumiza, mkubalie tu, usimuhukumu mtu sababu ya makosa ya watu wengine"

Kuhusiana na hukumu yake BASATA Rosaree amesema alilazimika kukata rufaa ili aweze kufanya sanaa kama kawaida na kwa sasa yupo kwenye uangalizi wa miezi 6

"Nilikata rufaa kwa Waziri Mwakyembe, na akanisikiliza na wamenipa uangalizi wa miezi 6, nashukuru sana, ila pia BASATA nililipishwa faini ya Milioni 2" amesema Rosaree
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali