Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rose na Chuchu wasimamishwa kazi Uyui

Jumatano , 25th Jan , 2023

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Uyui mkoani Tabora amewasimamisha kazi Rose Shirima, aliyekutwa na tuhuma ya matumizi ya lugha isiyo na staha mahali pa kazi na James Chuchu aliyekutwa na tuhuma ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii na kuleta taharuki katika jamii.

Rose Shirima, Muuguzi Mkunga

Taarifa hiyo imetolewa hii leo Januari 25, 2023, kufuatia uchunguzi uliofanywa na Wizara ya Afya, Ofisi ya Rais TAMISEMI pamoja na Halmshauri ya wilaya ya Uyui mkoani Tabora, baada ya video kusambaa mitandaoni ikiwaonesha Rose Shirima ambaye ni Muuguzi Mkunga na Getogo James Chuchu ambaye ni Mteknolojia wa Maabara, wakibishana kuhusu vipimo vya malaria vilivyoisha muda wake

Aidha uchunguzi huo pia umebaini kuwa hakuna mgonjwa aliyepimwa malaria kwa kutumia vitendanishi vilivyoisha muda wake wa matumizi licha ya uwepo wa vitendanishi vilivyoisha muda wake wa matumizi tangu mwezi Agosti 2022 na kwamba zahanati hiyo ina vitendanishi ambavyo vitaisha muda wake Aprili na Desemba 2023.

Mbali na hayo uchunguzi pia umebaini kuwa kuna mahusiano yasiyoridhisha kwa baadhi ya wafanyakazi katika zahanati hiyo, usimamizi wa kituo usioridhisha na kwamba watumishi wanne wa zahanati hiyo wamekutwa na tuhuma za kujibu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali