Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RPC Arusha atoa ofa kwa walevi

Jumapili , 24th Mei , 2020

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana, katika kusherehekea sikukuu ya Eid El Fitri, ametoa ofa kwa mtu yeyote atakayelewa kupita kiwango ahakikishe anawasiliana na Jeshi hilo, kwa ajili ya kulichukua gari lake na kulihifadhi na atapaswa kulifuata pale ulevi utakapomwisha.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Jonathan Shana.

Kamanda Shana ameyabainisha hayo, wakati akituma salamu za sikukuu hiyo na kuwataka wananchi wake kusherehekea kwa tahadhari, ikiwemo kujikinga na maambukizi ya Virusi vya Corona.

"Natoa ofa pia kama ukijihisi umelewa kupita kiasi wewe tuite, tutachukua gari lako  tutalitunza bure na kilevi chako kikiisha sisi tutakukabidhi, pia tunatoa wito kwa wananchi kuzingatia tahadhari zote za kujikinga na COVID-19" amesema Kamanda Shana.

Aidha EATV&EA Radio Digital, leo pia inawataki Waislamu wote nchini, kusherehekea kwa amani na utulivu sikukuu ya Eid El Fitri, bila kusahau kuzingatia tahadhari za maambukizi ya Virusi vya Corona.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma