Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

RPC athibitisha watu kuuawa kwa kuchinjwa

Jumamosi , 15th Dec , 2018

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Gilles Muroto, amethibitisha kutokea kwa tukio la mauji ya watu watatu wa familia moja, ambao miili yao ilibainika kuwa wameuawa kwa kuchinjwa.

Akizungumza na www.eatv.tv, Kamanda Muroto amesema ni kweli tukio hilo limetokea katika kijiji cha Mayamaya kitongoji cha Zamahelo, na kwamba jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi.

“Ni kweli tukio hilo limetokea na limetokea usiku, na watu hao baada ya kukagua miili yao ilikuwa wameuawa kwa kuchinjwa, aliyefanya tukio hajajulikana ni nani na kwanini, kama ni ugomvi tu, au walikuwa wanadaiana bado haijajulikana, jeshi la polisi linaendelea na uchunguzi, ili kuweza kuwatia nguvuni wote waliohusika na tukio hilo”, amesema Kamanda Muroto.

Mauaji hayo yametokea usiku wa Desemba 13, ambapo watu watatu wa familia moja ambao ni baba aliyejulikana kwa jina la Daudi Isaya na mkewe, Hilda Mazengo na mtoto wao mchanga.

Watu hao waligunduliwa na watoto wao wakubwa baada ya kurejea nyumbani asubuhi kutoka nyumba ya jirani ambako huwa wanalala, na kukuta mlango wa wazazi wao uko wazi kitu ambacho sio kawaida.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa