Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sababu za kukamatwa kwa Meya wa CHADEMA

Ijumaa , 16th Nov , 2018

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia a Kupambana na Rushwa nchini TAKUKURU kwa tuhuma za kupokea rushwa ambapo ni kinyume na sheria za makosa ya jinai nchini

Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini, Alex Kimbe.

Taarifa za kukamatwa kwa Meya huyo zilianza kusambaa jana kupitia mitandao ya kijamii, zikimtaja Meya huyo kuwa alikuwa kwenye moja ya hoteli mjini Iringa, ambapo alikutwa na fedha hizo baada ya kuwekewa kwa mtego.

Akizungumza na www.eatv.tv Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Peter Msigwa amethibitisha kukamatwa kwa Meya wake wa Manispaa ya Iringa ambapo amesema "ni kweli kiongozi (Meya) amekamatwa na mimi niko Dodoma nitahakikisha mpaka mchana nalifuatilia suala hilo".

Meya Alex Kimbe amekuwa akiingia kwenye migogoro ya mara kwa mara na Mkuu wa Mkoa wa Iringa Ally Hapi kutokana na sababu mbalimbali za kiutawala, ambapo hivi karibuni alinukuliwa akimtaka Mkuu wa Mkoa wa Iringa kuomba radhi

Kwa kiongozi mzuri anapaswa ajitafakari, kama Waziri ameomba radhi kwa niaba yake yeye pia Mkuu wa Mkoa aombe radhi, lakini pia unakumbuka mambo yaleyale ambayo sisi tuliyasema kwamba anakiuka sheria”, Alex Kimbe.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi