Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sadaka ya Misa ya Rais Mkapa kukarabati Nyumba

Jumapili , 26th Jul , 2020

Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam Yuda Ruwa’ichi, ameagiza sadaka itakayopatikana kwenye shughuli ya kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin William Mkapa, zitumike kukarabati nyumba ya mapadri wa Lupaso, mkoani Mtwara.

Rais Mstaafu, Marehemu Benjamin William Mkapa

Kauli hiyo imetolewa leo Julai 26, 2020, wakati wa ibada ya kuagwa katika viwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam, ambapo kupitia taarifa hiyo imeeleza namna kiongozi huyo alivyokuwa akilitumikia Kanisa hilo enzi za uhai wake.

“Mhasham Baba Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki Dar es salaam, Yuda Rua’ichi kwa niaba ya Baraza la Maaskogu Tanzania, ameagiza sadaka hii ya leo itatumika kumuenzi Mzee wetu kwa kukarabati nyumba ya Mapadri Lupaso”.

Taarifa hiyo imeongeza kuwa, “Mzee Mkapa alikuwa na nia ya kukarabati nyumba hiyo na ukarabati huo unakadiriwa kutumia si chini ya shilingi milioni 20, pia haijawahi kukarabatiwa toka ilivyojengwa na wamisionari wa kwanza”.

Mwili wa Rais huyo Mstaafu utaagwa kwa siku tatu kuanzia leo Julai 26 hadi 28 na atazikwa kijijini kwao Lupaso, wilayani Masasi mkoani Mtwara Julai 29.

 

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa