Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la CAG, Spika atakiwa kujishusha

Jumatatu , 15th Apr , 2019

Umoja wa vyama nane vya upinzani nchini umemtaka Spika wa Bunge, Job Ndugai kuumaliza mgogoro baina ya Bunge na Mdhibiti wa Hesabu za Serikali nchini CAG, Prof Mussa Assad kwa kumtaka kukubali kujishusha.

Spika Ndugai

Kauli hiyo imetolewa na kiongozi wa Chama cha UPDP, Fahami Dovutwa wakati viongozi hao wakitoa msimamo wa pamoja juu ya masuala mbalimbali yanayotokea nchini.

Dovutwa amesema kuwa, "mambo kama haya madogodogo Spika baada ya kuona ushauri wake hausikilizwi angeshuka tu, ndiyo spiriti ya Watanzania. Viongozi wengi wanapoona jambo lao halisikilizwi huwa wanashuka, nimtake CAG asimame na msimamo wake upinzani tuko pamoja naye."

"Leo amemkataa CAG, kesho akiwa na shauri mahakamani anaweza kuleta hoja ya kumkataa Jaji Mkuu, kesho kutwa atamkataa IGP, mwishowe ataleta hoja ya kumkataa Mkuu wa Majeshi, sasa Taifa litaendaje kwenye masuala kama hayo." ameongeza Dovutwa.

Mgogoro baina ya Spika Ndugai na CAG Prof Assad umedumu kwa muda mrefu hivi sasa kufuatia kauli ya CAG aliyoitoa akiwa nje ya nchi ya kuwa Bunge ni 'dhaifu'.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi