Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la utoro Bungeni, Lema amjibu Spika

Ijumaa , 16th Nov , 2018

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amekiri kuwa na mahudhurio hafifu ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kile alichokisema kuwa ni kukabiliwa na majukumu mengine ya nje ya ubunge, ambapo aliitaja sababu ya kuhudhuria kesi mbalimbali mahakamani.

Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, Spika wa Bunge Job Ndugai/.

Kauli hiyo ya Lema imekuja siku moja baada ya Spika Job Ndugai kumtaja mbunge huyo pamoja na Mbunge wa Kibamba John Mnyika wako kwenye orodha ya wabunge ambao wana mahudhurio hafifu kwenye bunge la hilo.

Akizungumza na www.eatv.tv Lema amesema “sisi ni wabunge ambao tuna kesi nyingi mahakamani, kwenye bunge la bajeti nilihudhuria mahakamani mara 4 kwa mwezi, kwa misingi kama hiyo lazima utakuwa na mahudhurio hafifu bungeni.”

Mimi pia nimekaa jela miezi 5 na spika amesahau kule jela hakuna bunge, na nilikamatwa wakati wa bunge na nikaachiwa kipindi ambacho bunge limeisha,” ameongeza Lema

Kingine huwezi kuhudhuria bungeni kila siku, ni lazima uwe na hoja mimi mahudhurio yangu huwa yanamchango sana kwa taifa hasa kwenye uchumi, siasa na haki za binadamu lakini wao wanawabunge wengi ambao wanahudhuria bungeni kama wanafunzi wa darasa la kwanza,” ameongeza Lema.

Aidha Lema amesema “Lakini mimi ni mwakilishi wa jimbo kuna wakati naenda kufanya kazi jimboni au kuwatafutia misaada wananchi wangu, pia mbunge ni mwakilishi wa chama mimi kwangu nimefanya uchaguzi mara mbili kwa hiyo nisingeweza kuhudhuria bunge".

Yapo mengi sana lakini bado uwepo wetu kila tunapopata nafasi ya kuingia bungeni huwa tunatoa michango ambayo ni muhimu sana kwa taiifa,” amemalizia Lema.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali