Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sakata la waandishi,CHADEMA yanena Uhamiaji yajibu

Alhamisi , 8th Nov , 2018

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kimejitokeza juu ya kushikiliwa kwa waandishi wa habari wawili ambao ni Raia wa kigeni na wanaharakati wa kamati maalum ya kuwalinda wanahabari Duniani CPJ.

Mkurugenzi wa Itifaki na mambo ya nje wa CHADEMA, John Mrema, Mrakibu wa Polisi, Msemaji Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda.

Waandishi hao waliokamatwa ni Mkuu wa kamati ya Afrika, Angela Quintalna Muthoki Mumo ambaye ni mwakilishi wa kamati hiyo ya Afrika mashariki.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Mkurugenzi wa Itifaki na mambo ya nje wa CHADEMA, John Mrema ameitaka idara ya uhamiaji nchini kurejesha Passport zao ili kuwapa nafasi waandishi hao wa kigeni kufanya kazi kwa uhuru.

"tunaitaka idara ya uamiaji ituambie imetumia sheria gani kuwakamata waandishi hao wa kigeni, pia tunaitaka serikali iseme kwa uwazi nani alitoa amri ya kukamatwa kwa waandishi hawa, na mwisho iboreshe maisha ya kufanyia kazi kwa waandishi wa habari."

Mapema jana ilielezwa kuwa Maafisa waliojitambulisha kuwa wanatoka Idara ya Uhamiaji, waliwakamata viongozi wao katika Hoteli waliyofikia jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari mapema leo Jijini Dar es salaam, Mrakibu wa Polisi, Msemaji Idara ya Uhamiaji, Ally Mtanda amesema waliwashikilia waandishi hao wawili na leo hii wamerejeshewa pasipoti zao.

"Ni kweli tuliwashikilia kwa muda, tulifanya mahojiano nao, tulizikamata paspoti zao na sasa tumewarejeshea. Tumewaelekeza wafuate taratibu lakini tumewakabidhi pasipoti mbele ya ubalozi wao," amesema Ally Mtanda.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali