Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sekta Binafsi wafichua siri ya Ali Mufuruki

Jumanne , 10th Dec , 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi hapa nchini (TPSF), Godfrey Simbeye, amesema kuwa bado sekta hiyo ilikuwa inamuhitaji Ali Mufuruki kwa kuwa alikuwa bado hajakamilisha ndoto yake ya kuifikisha mbali sekta binafsi ya Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa TPSF, Godfrey Simbeye.

Simbeye ameyabainisha hayo leo Desemba 10, 2019, wakati wa ibada ya kumuaga Ali Mufuruki, iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini Dar es Salaam, ambapo amesema kuwa wao kama sekta binafsi, wamempoteza kiongozi mkubwa ambaye alikuwa bado anaipigania sekta hiyo na kuwataka viongozi kufuata yale mazuri aliyoyaacha mfanyabiashara huyo.

"Ali hajamaliza kitu ambacho alitaka kukifanya kuhusu sekta binafsi hapa Tanzania, tulikuwa tunaongea mengi na alidai kwamba kazi ya kuendeleza TPSF ilikuwa bado haijakamilika, hata viongozi wetu walioko humu ndani tuna safari ndefu na mimi nadhani kitu ambacho tunaweza kukifanya ni kuendeleza yale aliyoyaanza Ali" amesema Godfrey Simbeye Mkurugenzi TPSF.

Mfanyabiashara maarufu ndani na hata nje ya Tanzania, Ali Mufuruki, aliaga Dunia akiwa nchini Afrika Kusini, alikokuwa akipatiwa matibabu na leo Desemba 10, 2019, ameagwa na ndugu, jamaa na marafiki na amezikwa katika makaburi ya Kisutu Jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa