Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kutumia Milioni 350 jimboni kwa Mtaturu

Jumapili , 26th Jan , 2020

Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Atashasta Nditiye amesema kuwa Serikali itajenga Mnara wa simu wa TTCL, katika Kata ya Misugha Jimbo la Singida Mashariki kwa lengo la kuboresha Mawasiliano Mkoani humo, kufuatia ombi la Mbunge wa Jimbo hilo Miraji Mtaturu.

Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu

Akizungumza leo Januari 26, 2020 na EATV&EA Radio Digital, Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki Miraji Mtaturu, amesema kuwa anaishukuru Serikali kwa maamuzi hayo kwani itakuwa mkombozi mkubwa kwa wana Singida katika sekta ya mawasiliano.

"Jana alikuja kuangalia hali ya mawasiliano kwenye jimbo baada ya kumuomba muda mrefu, na akajiridhisha na kuwaelekeza TTCL, na uwekezaji wake ni zaidi ya Milioni 350 na tunatarajia mwishoni mwa mwezi Februari 2020, Mnara huo utaanza kujengwa, na Mnara huo utakuwa ni mkombozi sana kwa ajili ya maendelea ya wananchi" amesema Mbunge Mtaturu.

Jana Januari 25, 2020, Naibu Waziri Mhandisi Nditiye alitembea Jimbo hilo kwa lengo la kujionea hali halisi ya mawasiliano mkoani humo , ambapo alioneshwa kutoridhishwa hali iliyopelekea kutoa maagizo kwa TTCL.
 

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini

Rose Senyagwa, Mchambuzi wa Masuala ya Hali ya Hewa kutoka TMA

Kimbunga "IALY" kinazidi kusogea Pwani ya bahari