Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali kuwapima vilevi wafanyakazi

Jumamosi , 13th Oct , 2018

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe, amesema serikali haitaendelea kuvumilia kuona watu wanakufa kutokana na ajali zinazotokana na makosa ya kibinadamu ikiwemo ulevi na imekuja na mpango wa kuwapima vilevi madereva.

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe.

Akiongea leo jijini Dar es salaam, wakati wa kukabidhi vifaa vya kupima vilevi kwa wasimamizi na waendeshaji wa Treni, TRC na TAZARA,  waziri Kamwelwe amesema madereva watapimwa kiwango cha vilevi ili kujiridhisha kama hawajatumia.

''Kwa kutumia vifaa hivi tutaweza kubaini viwango vya vilevi kwa wafanyakazi hawa, mwanzo wa safari, katikati na mwisho wa safari. Nimatumaini ya serikali kwa kutumia vipimo hivi idadi ya ajali zinazotokana na makosa ya binadamu zitapungua'', amesema Waziri.

Mbali na hilo Waziri Kamwelwe amewataka viongozi wa vyama vya wafanyakazi nchini kutotetea tu wafanyakazi bila kutazama kosa alilofanya.

''Msitetee tu kwasababu ni wanachama wenu, unakuta anakosa au hajafika kazini wewe huchukui hatua ila mwajiri wake akichukua hatua wewe unakuwa wa kwanza kumtetea'', amesongeza.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali