
Baadhi ya wafugaji katika moja ya kijiji kilicho jirani na hifadhi ya Ruaha wamesema walikuwa wakilazimika kuingiza mifugo hifadhini kutokana na hali ya ukame iliyopo sasa, lakini kwa sasa maji yapo kijijini na safari za kwenda hifadhi zitakoma
Kwa upande wake Afisa ujirani mwema kutoka TANAPA Priscous Mrosso amesema kwa sasa wamejipanga kuendelea na ujenzi wa miundombinu ya namna hiyo katika maeneo ya Vijiji vingine vinavyo zunguka eneo la hifadhi