Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yarejesha Makontena kwa Barrick Gold

Ijumaa , 24th Jan , 2020

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, ameiagiza Kampuni ya Barrick Gold, kuyachukua yale Makontena ya Makinikia yaliyozuiliwa bandarini ili wayauze kwa faida ya kampuni ya Twiga.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli.

Hayo ameyabainisha leo Januari 24, 2020, Ikulu ya Jijini Dar es Salaama mara baada ya kushuhudia utiaji wa saini wa makubaliano ya mikataba Tisa ya Madini kati ya Serikali na Kampuni ya Barrick Gold, ambapo kwa pamoja wameingia makubaliano ya kuunda Kampuni ya Twiga itakayokuwa ikisimamia Madini.

"Yale Makontena ambayo yako bandarini, ambayo tuliyashika sasa mkatafute wabia mkayauze  kwa faida ya kampuni ya Twiga, today is a new page, is a new life" amesema Rais Magufuli.

Kwa upande wake Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi ameeleza ni kwa namna gani alikutana na ugumu na changamoto kubwa wakati wa mchakato huo na kuomba msamaha kwa chochote ambacho kitakuwa kimepungua kutokana na mikataba hiyo.

"Naomba niombe msamaha kwako na kwa Watanzania wote kwa lolote litakalokuwa limepungua, limetokana na ubinadamu wetu na muwe na uhakika, tulifanya kazi hii kwa moyo wetu wote, akili zetu zote na nguvu zetu zote" amesema Waziri Kabudi.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke