Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa Miezi 3 kwa wananchi

Jumatatu , 13th Nov , 2017

Wanakijiji 1,830 wa kijiji cha Bwila Chini Mkoani Morogoro wapewa miezi mitatu kuhama Wananchi zaidi ya 1,800 wa kijiji cha Bwila Chini na Kiburumo tarafa ya Mvuha Wilaya ya Morogoro.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Stephen

Wakazi hao wametakiwa kuondoka katika eneo hilo ndani ya kipindi hicho kwa ajili ya kupisha ujenzi wa bwawa katika eneo hilo baada ya kulipwa fedha zao za fidia na kumalizika kwa msimu wa Mavuno.

Akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa malipo ya fidia awamu ya pili katika viwanja vya Shule ya Msingi Bwila Chini, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Stephen Kebwe, amesema lengo la Serikali ni kutaka wananchi hao kupata makazi mapya baada ya kutakiwa kupisha ujenzi wa bwawa katika eneo hilo hivyo ni vyema wakatumia kiasi hicho cha fedha kama ilivyoelekezwa.

Kwa upande wake, Meneja Miundombinu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mkoa wa Morogoro ,Mhandisi John Kirecha, amesema, malipo hayo yanatokana na malalamiko yaliyoibuka wakati wa malipo ya awamu ya kwanza mwaka 2014 ambapo jumla ya shilingi Bilion 4 zinatarajiwa kulipwa kwa wananchi zaidi ya 1,800.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali