Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa neno wasiolipwa fedha za korosho

Jumanne , 13th Aug , 2019

Serikali imeendelea kuwapa matumaini wakulima wa Korosho ambao bado hawajakamilishiwa malipo yao na kuwataka kutokata tamaa, kwani tayari wanunuzi wamepatikana korosho zote zilizopo ghalani zitanunuliwa ndani ya muda mfupi.

Kauli hiyo imetolewa na Naibu Waziri wa Kilimo, Omari Mgumba alipokuwa akifunga maonesho ya 27 ya wakulima Nane-Nane Kanda ya kusini, katika viwanja vya Ngongo vilivyopo katika Manispaa ya Lindi.

Naibu Waziri Mgumba amesema wakulima hawana sababu za kukata tamaa wa kutolipwa fedha zao za korosho, kwani bado uhitaji wa zao hilo Duniani ni kubwa na tayari wanunuzi wa kuzinunua wamepatikana.

"Nachukuwa nafasi hii kuwaelezeni kwamba Korosho zote zilizopo maghalani kuanzia kusini hadi Dar es salaam zimepata wanunuzi. Kufuatia ubora wa Korosho zetu ulivyo, upo uhakika mkubwa bei ya zao hili kwa mwaka huu ukawa mzuri zaidi", amesema Naibu waziri Mgumba.

Naibu Waziri huyo wa Kilimo amekanusha taarifa zinazoendelea kutolewa kwamba korosho zilizopo kwenye maghala kwamba zimeoza, huku akiwataka wananchi kupuuza madai hayo, kwani wanunuzi wamepitishwa na kuzikagua na kubaini ni mzima.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali