Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yawaonya wanaovujisha siri za mteja

Jumatatu , 25th Jan , 2021

Serikali imeyaonya makampuni ya simu ambayo watumishi wao wamekuwa sio waaminifu na wamekuwa wakivujisha siri za wateja wao kwa watu wengine na kuwataka wananchi wenye malalamiko kama hayo kuyawasilisha wizarani ili hatua kali za kisheria zichukuliwe.

Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile

Hayo yamebainishwa Jijini Dodoma na Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt Faustine Ndugulile wakati wa hafla ya kutiliana saini mikataba kati ya Makampuni ya simu na Mfuko wa Mawasiliano kwa wote (UCSAF) ili kupeleka mawasiliano maeneo ya vijijini ambapo amesema  kuna makampuni ya simu ambayo watumishi wao si waaminifu na wamekuwa wakivujisha siri za wateja kwa marafiki zao kwa kuhongwa fedha.

"Kumekuwa na tabia kwenye haya makampuni watumishi wanavujisha siri za mawasiliano za wateja mtu kagombana na mpenzi wake anakuja kwenu mnamkopia mawasiliano yake yote hilo halikubariki" amesema Dkt Ndugulile.

Aidha ameyataka Makampuni hayo kukomesha tabia hiyo sambamba na  kuanza kuangalia namna ya kuboresha huduma zao kwa kuondoa huduma ya interneti ya kasi ya 2G na ili kama nchi tuanzie kasi ya 3G na kuendelea mbele kama nchi nyingine huku akihimiza kupunguza gharama za bando kwa wateja wao.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali