Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yawatoa majonzi wanafuzi 21,000

Jumanne , 22nd Jun , 2021

Wizara ya Fedha na Mipango, imependekeza kuongeza kiasi cha shilingi bilioni 70 kitakachowawezesha takribani wanafunzi 21,000 wa elimu ya juu walioshindwa kuendelea na masomo baada ya kukosa mkopo licha ya kwamba walikuwa na sifa za kundelea na masomo hayo.

Bodi ya Mikopo

Kauli hiyo imetolewa leo Juni 22, 2021, Bungeni Dodoma na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba, na kuongeza kuwa kiwango hicho cha pesa kitawanufaisha wale wanafunzi 11,000 walioshindwa kuendelea na masomo kwa mwaka jana na wale wa mwaka huu wanaokadiriwa kuwa 10,000 kutokana na kukosa mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu nchini (HESLB).

"Mwaka jana takribani wanafunzi 11,000 wale wenye sifa waliokosa masomo kwa sababu ya mkopo na wazazi wao hawana uwezo na wakabaki majumbani na mwaka huu 10,000, wanakadiriwa wangekosa mkopo, tunapendekeza kuongeza shilingi bilioni 70 kwenye zile bilioni 300 ambazo zitawapeleka wote," amesema Dkt. Waziri Nchemba.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa