Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shamba la bangi lateketezwa Mbeya

Ijumaa , 17th Feb , 2017

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Kamati Kuu ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Kipolisi Mbalizi lilifanya Oparesheni ya pamoja na kumkamata mkulima mmoja wa dawa za kulevya aina ya bangi, pamoja na kuteketeza shamba lake.

Shamba la bangi pamoja na mafurushi ya bangi yaliyokuwa nyumbani kwa mtuhumiwa

Kamanda wa Polisi Mkioa wa Mbeya DCP Dhahiri Kidavashari amesema tukio hilo limetokea tarehe 16 Februari mwaka huu na kumtaja mtu huyo kuwa ni Upe Nduta mwenye umri wa miaka 30, mkazi wa Jojo Wilaya ya Kipolisi ya Mbalizi, ambaye alikuwa amelima shamba lenye ukubwa wa ekari moja.

Aidha katika Oparesheni hiyo zaidi ya miche 2,000 iliyokomaa ilikutwa shambani kilogram 2 na gram 145 za bangi pia zikikutwa nyumbani kwake.

Kamanda Kidavashari amesema mtu huyo muuzaji/msafirishaji na mtumiaji wa dawa za kulevya .

Katika hatua nyingine, kwa nyakati tofauti, Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limekamata watuhumiwa wanne wakiwa na dawa za kulevya aina ya bangi misokoto mitatu yenye uzito wa kilogram 15 na gram 685 kati ya tarehe 11 Febriari hadi 16 Februari, 2017.

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja