Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shule ya Kisimiri waeleza siri ya kuongoza kitaifa

Ijumaa , 12th Jul , 2019

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kisimiri, Valentine Tarimo, iliyoshika namba moja katika matokeo ya Kidato cha sita 2019, amesema kujituma na kufanyakazi kwa ari, ikiwa ni pamoja na kuweka mipango thabiti, ndiyo chanzo kikubwa cha kuleta ufaulu huo.

Shule ya Sekondari ya Kisimiri

Ameeleza mipango iliyothabiti ambayo huwa wanajiwekea kila mwaka, imekuwa ndiyo chachu kubwa ya maendeleo yao, ambapo kwa mwaka huu wametimiza lengo kwa asilimia 99, baada ya wanafunzi takribani 58 kupata daraja la kwanza huku wanafunzi wawili pekee wakibaki na daraja la pili.

''Huwezi amini nikikuambia unaweza ukashangaa sana, Kidato cha 6 waliomaliza ambao leo tunafurahia matokeo yao, nimekula nao sikuukuu zote, hawakwenda likizo za Krismas, Mwaka Mpya na Pasaka'', ameeleza. 

Aidha mkuu huyo wa shule ameongeza, ''Matokea yake ndio haya, ukiangalia inahitaji uwajibikaji wa hali ya juu, sisi tunaamua kutoa likizo zetu, kwa ajili ya maslahi mapana ya vijana'', alisema Mwalim Tarimo.

Aidha mwalimu Tarimo ametoa rai kwa wadau wa elimu, kuiga mfano huo wa kujitoa, lakini pia kujenga ushirikiano na uhusiano mzuri na wazazi, ili waweze kutoa ridhaa ya watoto wao, wakati wa likizo kubaki shuleni.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa