Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Silaha 50 zakamatwa makazi ya wakimbizi Katavi

Jumatano , 26th Feb , 2020

Takribani silaha 50 zimekamatwa kwenye makazi ya wakimbizi, eneo la Katumba Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi, wakati wa oparesheni iliyopewa jina la 'Safisha Katumba 2020' iliyofanywa na JWTZ kwa ajili ya kukamata silaha wanazotumia kwenye vitendo vya kihalifu na ujangili.

Mkuu wa Brigedia ya Magharibi, Brigedia Jenerali John Mkunda,

Akitoa taarifa kwa Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Mkuu wa Brigedia ya Magharibi 202 KJ, Brigedia Jenerali John Mkunda, amesema kuwa katika oparesheni hiyo wamefanikiwa kukamata silaha takribani 50 zikiewemo SMG 13, G Three (3), Rifle (1), gobole 33 pamoja na risasi 32.

Mkuu huyo wa Brigedia ya Magharibi amesema kuwa matukio ya uhalifu yamekithiri katika Wilaya ya Katumba ambako wanaishi Watanzania wengi wenye asili ya Burundi.

Naye Mkuu wa Mkoa wa Katavi, Juma Homera amewataka wananchi wanaoishi katika maeneo hayo kusalimisha silaha kwa hiari yao kwani hawatosalimika wasipofanya hivyo.

"Mtakumbuka hivi karibuni Mheshimiwa Rais alipotembelea hapa alionesha kusikitika kutokana na vitendo vya kihalifu vinavyotokea katika mkoa wetu na raia hawa wa Burundi ambao waliomba uraia wa kuishi Tanzania. Kwahiyo nawaambia hakuna jiwe litasalia juu ya jiwe lingine", amesema Mkuu huyo wa Mkoa.

HABARI ZAIDI

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu

Mwili wa Boaz Sanga, Mwanafunzi wa CHuo cha SAUTI Mwanza baada ya kupatikana Pembezoni wa Ziwa Viktoria

Mwanafunzi wa SAUTI afariki akijaribu kuogelea