Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Sina ahadi za uongo, napenda nifike mbinguni"-JPM

Jumatano , 2nd Sep , 2020

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dkt John Magufuli, amesema kuwa yeye hatoa ahadi za uongo kwa sababu hataki kufanya dhambi hiyo kwani anatamani siku moja akienda mbinguni apewe Uwaziri wa Malaika.

Mgombea Urais kupitia CCM, Dkt John Pombe Magufuli.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Septemba 2, 2020, katika eneo la Misigiri mkoani Singida wakati akiomba kura kwa wananchi wa maeneo hayo.

"Mimi sitoi ahadi za uongo kwa sababu msema kweli ni mpenzi wa Mungu, sitaki nifanye dhambi kwa kuwaambia wazee wangu ya uongo, ninapenda na mimi siku moja nifike mbinguni ili Malaika nikifika waniambie ulifanya vizuri tunakupa sasa hata ka Uwaziri wa Malaika", amesema Dkt Magufuli.

Katika hatua nyingine Dkt Magufuli ameeleza ni kwa namna gani anawapenda Mwigulu Nchemba ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo.

"Mwigulu ninamfahamu na ninampenda sana, lakini Mwigulu ni kama mdogo wangu maana amesoma Chuo Kikuu na mdogo wangu na Profesa Mkumbo ni mdogo wangu naye nampenda sana, ndiyo maana nikasema huyu agombee hapa na yule akagombee Ubungo na watashinda na mimi najua nitafanya nini", ameongeza Dkt Magufuli.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa