Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Ndugai alimwa barua sababu ya CAG

Jumanne , 9th Apr , 2019

Taasisi ya Change Tanzania imetuma maombi kwa Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai kuangalia upya maamuzi ya Kamati ya Maadili ya Bunge juu ya uamuzi wa kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali, Prof Assad uliofikiwa April 2 2019.

Kupitia barua yao maalum waliyoituma kwa Spika wa Bunge wa Tanzania Taasisi hiyo imesema imekusanya maoni ya wananchi waliofikia 15000 ambao wameonesha kutoridhidhishwa na maamuzi hayo ya Bunge.

"Tunaambatanisha sahihi pamoja na maoni ya wananchi takribani 15,000 waliotia sahihi wito kutoa azimio la kutofanya kazi na CAG, wito unaendelea kuungwa mkono siku hadi siku na tunaamini kuwa itazidi kuongezeka, kama tulivyoainisha katika wito wetu, sisi wananchi tunakuomba Mheshimiwa Spika na Kamati ya Maadili kurejea maamuzi yenu kuhusu azimio la kutofanya kazi na CAG".

"Hadhi na heshima ya Bunge inatokana na kazi yenu nzuri ya kuisimamia Serikali kwa niaba yetu, watanzania tungependa kuendelea kuona Bunge likidumisha mfumo huu wa uwajibikaji na utawala bora kama kawaida yake."

"Hivi sasa tunatumia mfumo maalum wa wito (petition) ikiwa ni njia nzuri ya kisheria na kistaarabu kuelekeza maoni, maombi na changamoto zao kwa viongozi" imemaliza taarifa hiyo na kusainiwa na Mbaraka Islam ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa taasisi hiyo. imemaliza taarifa hiyo

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava