Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Sugu amtaka JPM kuongeza mishahara

Ijumaa , 12th Apr , 2019

Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ amemtaka Rais Magufuli atakapofika Mbeya kwa ajili ya Siku ya Wafanyakazi Duniani kuongeza mishahara kwa watumishi wa umma kwa sababu miaka yake minne hajawahi kuongeza hata kidogo.

Mbilinyi ametoa kauli hiyo wakati akichangia bajeti ya Ofisi ya Rais TAMISEMI ambapo amesema anamuomba Rais atakapokuwa Mbeya aongeze mishahara kwa wafanyakazi.

Wafanyakazi wana hali mbaya sana maeneo yote ya nchi hii. Rais aangalie suala la wastaafu wengine ni mwaka wa pili sasa hawajalipwa mafao yao, katika idara za ulinzi na usalama kama Magereza, Polisi ni miaka miwili wastaafu wapo kota hawana nauli za kubebea mizigo kurudi kwao”.

Rais amesema Watanzania si wajinga kwa tukio la Mohammed Dewji, pia Watanzania wanajiuliza kuhusu Tundu Lissu na Ben Saanane uchunguzi unaendeleaje”, ameongeza Mbunge Sugu.

Sugu ni miongoni mwa Wabunge 10 wa Bunge la Tanzania ambao kwenye Uchaguzi Mkuu wa 2015 walishinda kwa kura nyingi, aliwahi kufungwa jela miezi 5 kwa makosa ya kutoa kauli za uchochezi lakini baadaye aliotolewa kwa msamaha wa Rais.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi