Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Taasisi na Wizara zilizofanya malipo nje ya bajeti

Alhamisi , 8th Apr , 2021

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere leo Aprili 8, 2021 ameisoma ripoti yake ya mwaka wa fedha 2020/21 mbele ya waandishi wa habari jijini Dodoma.

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Charles Kichere

Katika ripoti yake hiyo ambayo Machi 28, 2021 aliikabidhi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amebainisha kuwepo kwa malipo yaliyofanywa nje ya bajeti na taasisi mbalimbali zikiwemo wizara.

''Katika ukaguzi wa mwaka huu nilibaini kuwa malipo ya zaidi ya Shilingi Bilioni  29 yalifanyika nje ya bajeti. Baadhi ya taasisi zilizofanya malipo nje ya bajeti ni Taasisi ya Sanaa Bagamoyo, TANROADS, Shirika la Uzalishaji mali la Magereza, TAWA, TARURA, TIA, UNESCO, Wizara ya Ujenzi, Wizara ya Afya, Ofisi ya Waziri Mkuu, Mkoa wa Songwe,'' ameweka wazi CAG Charles Kichere.

Aidha ameongeza kuwa, "Katika ukaguzi nilibaini kuwa wakala wa ndege za Serikali (TGFA) ililipa bilioni 3.92 ikiwa ni  gharama ya huduma za matengenezo makubwa ya ndege hata hivyo baada ya ziara yangu nilibaini ndege haikuwa ikifanya kazi na ilikuwa imetelekezwa tangu 2015,".

Kwa upande mwingine ameeleza juu ya kufanyiwa kazi kwa mapendekezo ya miaka iliyopita ambapo amesema, "Kati ya mapendekezo 8440 yaliyotolewa miaka iliyopita, mapendekezo 2610 yametekelezwa kikamilifu, 2662 utekelezaji unaendelea, 2292 utekelezaji wake haujaanza, 751 yamerudiwa, 426 utekelezaji wake umepitwa na wakati".

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi