Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yaahidi kutoa milioni 10

Jumanne , 14th Nov , 2017

Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa nchini (TAKUKURU) yaahidi kutoa donge nono la milioni 10 kwa mtu yeyeote atakayetoa taarifa mahali alipo aliyekuwa mtumishi wa taasisi hiyio Bwana Godfrey John Gugai ambaye wanamtafuta kwa kuwa na mali nyingi.

Akitoa taarifa hiyo kwa waandishi wa habari leo Naibu Mkurugenzi wa TAKUKURU  Brigadier General John Mbungo amesema mtu huyo awali alianza kuonyesha ushirikiano walipoanza kumuhoji, lakini baada ya muda akaanza kuwakwepa na hatimaye kutokomea kusikojulikana.

"Tumeendelea kumtafuta na taarifa tulizozipata amekuwa anakimbia nchi kupitia njia ambazo sio rasmi na hadi sasa tumeendelea kumtafuta lakini bado hajapatikana. Na sisi tumeona ni vema tuziweke hizi habari ziwe wazi kwenu waandishi wa habari na wananchi, popote watakapompata au kumuona huyu bwana watoe taarifa katika chombo hiki na taasisi hiii itamzawadia mtu yeyote ambaye atafanikisha kupatikana kwa huyu mtu, zawadi ya milioni 10 pesa taslim.", amesema Brigadia Mbungo.

Godfrey Gugai alikuwa mhasibu wa TAKUKURU anatuhumiwa kuwa na mali nyingi kinyume na sheria kwa mtumishi wa umma, ambapo ana nyumba ya ghorofa 4 iliyopo Ununio Knondoni, nyumba ya ghorofa 3 Bunju, ana nyumba za kupangishwa Mbweni, ana nyumba za kupangisha Kinondoni, ana jengo la kifahari Majita Musoma, ana nyumba Mwanza, ana nyumba ya kifahari Mwanza Nyegezi, ana viwanja lukuki sehemu mbali mbali na mali nyinginezo.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa