Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Takukuru yaeleza inachojivunia kukamata vigogo

Jumanne , 11th Dec , 2018

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imedai katika kipindi cha hivi karibuni taasisi hiyo imefanikiwa kushinda kesi zake mbalimbali tofauti na ilivyokuwa kipindi cha nyuma ambapo kesi nyingi zilikuwa ikipigwa chini.

Mkurugenzi wa TAKUKURU Diwani Othman.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU nchini, Diwani Athuman, katika kipindi cha mwaka mmoja taasisi hiyo imeokoa Sh 70.3 bilioni zilizokuwa ziingie mifukoni mwa wala rushwa.

Diwani Athuman ameyasema hayo leo Jumanne Disemba 11, 2018 Jijini Dodoma katika ufunguzi wa mkutano mkuu wa makamanda wa taasisi hiyo wa mikoa na maofisa wake mbalimbali ambapo amesema mapambano dhidi ya rushwa bado ni vita kubwa inayohitaji ujasiri.

Aidha amesema katika kipindi cha mwaka mmoja kesi 495 zimefunguliwa na nyingi kati ya hizo wameshinda.

Diwani amesema katika uongozi wake wa miezi mitatu ndani ya taasisi hiyo amebadili mfumo wa utendaji na mtazamo, na kwamba anashirikiana na wenzake kuwapeleka watu mahakamani bila kuzingatia ukubwa wala muonekano wa nafasi zao.

Hivi karibuni Taasisi hiyo ilimuita kiongozi Mkuu wa Chama ACT - Wazalendo Zitto Kabwe kwa ajili ya mahojiano juu ya kutoa taarifa za rushwa na uhujumu wa miradi ya makaa ya mawe na chuma ya Mchuchuma na Liganga.

HABARI ZAIDI

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu