Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yashangazwa na rushwa kuongezeka Mwanza

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mwanza imesema licha ya taasisi hiyo kupambana na rushwa lakini bado vitendo hivyo vimeendelea kujitokeza kwa baadhi ya maeneo

Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Mwanza Frank Mkilanya

Imeelezwa kuwa katika kipindi cha mwezi wa nne hadi mwezi wa sita mwaka huu jumla ya malalamiko 115 yamepokelewa huku taarifa za rushwa pekee zikiwa ni 86.

Akitoa taarifa ya miezi mitatu Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Mwanza Frank Mkilanya amesema bado wanawaomba wananchi kuendelea kutoa taarifa zinazohusu vitendo vya rushwa ili ziweze kushughulikiwa kwa mujibu wa sheria ya kuzuia na kupamba na rushwa namba 11/2007.

Katika hatua nyingine mkuu huyo wa TAKUKURU mkoa wa Mwanza amesema wamebaini urejeshwaji mdogo wa fedha za mikopo ya halmashauri zinazotolewa kwa makundi ya vijana, wanawake na wenye ulemavu hivyo kushauri kasi iongezeke
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa