Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Tanzania imepiga hatua kidijitali'' - Munaku

Jumanne , 19th Oct , 2021

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku, amesema Tanzania kwasasa imepiga hatua kama taifa kwenye matumizi ya Tehama na jitihada zinaendelea kuhakikisha hatua nzuri zaidi inafikiwa.

Mkurugenzi wa Tehama na Mwenyekiti wa Kongamano la Tano la Mkutano Mkuu wa Tehama 2021, Mulembwa Munaku (kushoto) akihojiwa na Irene Tillya.

Munaku ameyasema hayo leo Oktoba 19, 2021 kwenye mahojiano maalumu na East Africa TV na East Africa Radio kueleka Mkutano Mkuu wa Tehama, ambapo amekaribisha wadau wajitokeze kwani kutakuwa na fursa nyingi.

''Tumepiga hatua kama taifa kwenye matumizi ya Tehama na ndio maana mtu anaweza kununua umeme akiwa nyumbani lakini bado hatujafika mwisho ndio tunaelekea huko ndio maana tunakaribisha wawekezaji zaidi kwenye Tehama,'' amesema Mkurugenzi wa Tehama, Mulembwa Munaku.

''Tunahitaji wawekezaji wa vyuo vya Tehama nchini ili kuweza kuendelea kutengeneza wabobezi wa Tehama na kama ambavyo Rais Samia amesema tunakwenda kuwa na chuo kikubwa zaidi Afrika Mashariki,'' - ameongeza Mkurugenzi wa Tehama, Mulembwa Munaku.

Aidha amesema kuwa, ''Kesho Jumatano tutakuwa na mjadala jinsi gani ya kufanya uwekezaji ili tuwe na taifa la kidijitali kwasababu yapo mambo ya msingi ya kufanya ikiwemo kutatua changamoto ya mahitaji ya kitehama ikiwemo mifumo na vifaa''.

Tazama video hapo chini

 

HABARI ZAIDI

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko

Serikali yaipongeza Red Cross

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi