Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yakabidhi uenyekiti SADC kwa Msumbiji

Alhamisi , 13th Aug , 2020

Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania Prof. Palamagamba Kabudi ameziomba nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) kuendelea kuitumia lugha adhimu ya Kiswahili katika shughuli zao za kila siku pamoja na kuiweka katika mitaala yao ya masomo shuleni.

Prof. Kabudi ametoa ombi hilo leo wakati akikabidhi Uenyekiti wa Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya SADC kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Msumbiji kwa njia ya mtandao akiwakilishwa na balozi wa Msumbiji nchini Tanzania Bi. Monica Clemente.

Tukio hilo limehudhuriwa na mawaziri na viongozi mbali mbali wa Jumuiya hiyo katika mkutano wa 40 wa wakuu wa nchi na serikali wa SADC kwa njia ya kimtandao ikifanyika hivi kutokana na janga la corona ambayo limeikumba dunia.

Kwa upande wake Bbalozi wa Msumbiji nchini Tanzania akibainisha namna wanavyojindaa kubeba jukumu hilo la ungozi wa SADC baada ya Tanzania kumaliza kipindi chake.

Zoezi hili la kukabidhi kijiti limeanza tangu Agosti 10, 2020 na litahitimishwa na Rais Dkt John Magufuli Agosti 17 Jijini Dodoma ambaye ndiye kwa mwaka mzima alikuwa ni Mwenyekiti wa Jumuiya hiyo kwa mwaka mmoja tangu Agostit 20 mwaka 2019 akikabidhi kijiti hicho kwa Rais wa Msumbiji.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa