Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tatizo la maji lamalizwa

Jumatatu , 18th Sep , 2017

Serikali imefanikiwa kumaliza tatizo la maji safi na salama eneo la Kilungule B Kimara Jijini Dar es salaam,eneo ambalo halikua na huduma hiyo kwa kipindi cha zaidi ya miaka 20 na kusababisha usumbufu kwa wakazi wa eneo hilo.

Akizungumza leo mara baada ya kuzindua kizimba jamii cha maji safi kilichotengenezwa na shirika la maji safi na maji taka DAWASCO kupitia fedha zilizotolewa na serikali kuu Mkuu wa wilaya ya Ubungo Kisare Makore amesema maendeleo hayo yanayofanywa na serikali ni jukumu la kila mwana jamii kuhakikisha wanasimamia uzalishaji wa huduma hiyo ili kupunguza kero za maji.

Kwa upande wake meneja wa DAWASCO kwa eneo la Kimara Injinia Pascal Fumbuka amesema utekelezaji wa mradi huo ni wa kilomita nne na unatarajia kuhudumia wanachi zaidi ya elfu 5000 katika eneo hilo.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kimara Pascal Manota amesema wanafanya jitihada za kuhakikisha maji hayo yanawanufaisha wanachi wa eneo hilo na jirani kwakuwa kwa kipindi cha nyuma yameripotiwa matukio mengi ya watu kuumia pindi wanapoenda kutafuta maji safi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali