Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tawi la Ccm Mtakuja wapokea tofali 200

Jumapili , 4th Dec , 2022

Kutokana na Ofisi ya Tawi la Mtakuja  la Chama Cha Mapinduzi CCM katika kata ya Kunduchi kufanya vikao katika miti Tawi hilo limepokea msaada wa matofali 200 kutoka kwa mdau wa maendeleo na mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya ujenzi wa ofisi hiyo.

Akizungumza na EATV jijini Dar es salaam Katibu wa Tawi hilo Sharifa Kitenge amesema wameshukuru kupokea tofali hizo kwani kwa muda mrefu wamekuwa wakitafuta mfadhili kwa ajili ya kupata mdhamini kwa ajili ya ujenzi wa Tawi hilo.

Aidha amesema kuwa matofali hayo yatasaidia kwa kiasi kikubwa katjika ukarabati wa ofisi hiyo ambayo bado inahitaji mamboresho makubwa kwani bado wanafanya vikao katika sehemu zisizo rasmi.

Kwa upande wake mdau  wa maendeleo na Mwanachma wa Chama Cha Mapinduzi Omary Hassan amesema amekabidhi tofali hizo mara baada ya kuona uhitaji wa tofali kwani jengo hilo ni la muda mrefu na limechakaa.

Pia ameongeza kuwa bado kuna uhitaji mkubwa wa vifaa vya ujenzi ili ofisi hiyo ikamilike na iwe katika hali nzuri hivyo amewaomba wadau mbalimbali kujitokeza.

HABARI ZAIDI

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa

Rajab Abrahaman Abdalah, Mwenyekiti wa CCM Mkoa Tanga

CCM Tanga yaijibu CHADEMA kuhusu huduma za kijamii

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Jenista Mhagama

Wazazi simamieni maadili kwa watoto 

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa