Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Teleza' azidi kuleta hofu Kigoma Meya atoa neno

Jumanne , 18th Dec , 2018

Meya wa Manispaa ya Kigoma Ujiji, Hussein Ruhava amekiri kuwepo kwa sintofahamu juu yauwepo wa mtu anayefahamika kwa jina la 'Teleza' ambaye amedaiwa kuwaingilia kimwili wanawake wasiokuwa na waume usiku kwenye wilaya hiyo bila ridhaa yao.

Wananchi wakiwa kwenye taharuki

Kwa mujibu wa Meya huyo, malalamiko juu ya uwepo wa 'Teleza' yalifika kwenye Baraza la Madiwani ambapo waliagiza Jeshi la Polisi kulishughulikia suala hilo.

Akizungumza kwenye kipindi cha East Africa Breakfast cha East Africa Redio Meya Ruhava amesema tukio hilo halina uhusiano wowote na imani za kishirikina bali vilikuwa ni vitendo vya kiuhalifu.

"Ni kweli mwanzoni mwa mwaka huu tulipokea taarifa ya kuingiliwa kwa wanawake bila ridhaa yao, lilitufikia kwenye vikao vya Baraza la Madiwani na tuliamuagiza OCD (Mkuu wa Polisi Wilaya) ayafanyie kazi na walijitahidi kulizima hilo zoezi." amesema Meya Ruhava

"Walipochunguza zaidi wakawagundua watu wanaofanya vitendo hivyo na waligundua kuwa halina uhusiano wowote na vitendo vya kishirikina, bali kuna vijana ndiyo walikuwa wakilifanya na juzi alhamisi na ijumaa lilibuka tena na Jeshi la Polisi linaendelea kuwatafuta vijana hao," ameongeza Meya huyo.

Wiki iliyopita kupitia Mkuu wa wilaya ya Kigoma Mjini Samson Anga alieleza kutolitambua suala hilo.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma