Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TIC yabana mianya kurahisisha uwekezaji

Alhamisi , 15th Nov , 2018

Kituo cha uwekezaji Tanzania (TIC), kinakwenda sambamba na kasi ya Rais John Magufuli katika kuziba mianya ya uwepo wa rushwa katika utumishi wa umma ili kurahisisha suala la uwekezaji nchini.

Makao makuu ya TIC.

Hilo limebainishwa na Afisa uwekezaji mwandamizi anayehusika na sera, utafiti na mipango kutoka TIC, Brendan Maro, kupitia MJADALA wa East Africa Television leo Novemba 15, 2018, ambapo amesema kwasasa suala la uwekezaji ndani ya TIC ni rahisi sana kwasababu haichukui muda na wala hakuna usumbufu.

''Mazingira ya ufanyaji biashara yameboreshwa kwa kiasi kikubwa sana ikiwemo kuwepo kwa miundombinu wezeshi kwa wawekezaji lakini pia uwepo wa wepesi wa kukamilisha zoezi lenyewe ndani ya TIC ambapo kwasasa nidhamu ya utumishi wa umma ni kubwa hata mianya ya rushwa haipo'', amesema.

Aidha Bw. Maro ameweka wazi kuwa tayari kituo hicho kimeshabaini uwepo wa elimu hafifu juu ya suala la uwekezaji ambapo wengi wanafikiri mwekezaji ni kutoka nje kumbe uwekezaji ni fursa kwa wote na upo mpango wa kuanza kupeleka taarifa sahihi kwa wananchi.

Pia ameongeza kuwa katika kuhakikisha wanawafikia wananchi wote kituo hicho cha uwekezaji kimeongeza ofisi za kikanda ukiacha Dar es salaam kwasasa kuna ofisi Dodoma na Kigoma.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali