Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Tumshukuru Mungu kuzaliwa Tanzania" - Jerry Muro

Jumanne , 18th Dec , 2018

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ametaka watanzania kuthamini uwepo wa rasilimali za Wanyamapori pamoja na uoto wa asili katika maeneo ya hifadhi za taifa, kwa kujenga utamaduni wa kutembelea maeneo hayo ili kujifunza umuhimu na nafasi ya uhifadhi katika mchango wa pato la Taifa.

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Jerry Muro

Jerry Muro ametoa wito huo katika kampeni maalumu ya kuhamasisha watanzania kutembelea hifadhi ya Arusha hasa katika kipindi hiki cha mapumziko ya mwisho wa mwaka.

Muro amesema kwamba watanzania wanapaswa kujenga utamaduni wa kutembelea vivutio vilivyopo nchini na kusisitiza kwamba vivutio hivyo havipo kwaajili ya wageni wanaotembelea Tanzania pekee.

"Mnapaswa kutenga muda wa kutembelea vivutio hivyo, ikiwa pamoja na kumshukuru Mungu kwa ajili ya kuzaliwa ndani ya nchi hii" amesema.

Hifadhi ya Taifa ya arusha ni miongoni mwa hifadhi chache ambazo zipo kilometa chache tu kutoka makao makuu ya jiji la arusha huku ikiwa ndio lango kuu la kupanda mlima Meru.

HABARI ZAIDI

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil

Baadhi ya Wabunge Wakichangia Hotuba ya Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Uchukuzi

Serikali yashauriwa kuwa bunifu sekta ya usafiri

Baadhi ya Wananchi Wakishudia Ajali Iliyomgonga Mwendesha Bodaboda

Watatu wanusurika kifo, scania ikimgonga bodaboda

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Deogratius Ndejembi (kulia) pamoja na Meneja Mwandamizi wa Afya, Usalama na Mazingira kutoka GGML, Dk Kiva Mvungi (kushoto) wakimpatia vifaa kinga mmoja wa washiriki wa mafunzo kwa madereva bodaboda wa jiji la Arusha.

Bodaboda 200 Jijini Arusha wanolewa na kufundwa