Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tunza fedha hali ni mbaya - Shigongo

Jumatano , 18th Jan , 2017

Mfanyabiashara na 'motivation spekear' Eric Shingongo amefunguka na kutoa darasa kwa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakifanya vitu nje ya uwezo wao ili tu kutaka kujionesha kwa watu kuwa na wao wanaweza au wana uwezo huo.

Eric Shigongo

Eric Shingongo amewasahi watu kutunza fedha na kufanya matumizi vizuri na kile wanachokitunza wasikae nacho tu ndani bali wanatakiwa kukiwekeza ili kiweze kuzalisha zaidi kuliko kukaa tu ndani.

"Mimi ni mfanyabiashara, hakuna kitu ninachokiangalia kama kubana matumizi yangu. Siwezi kununua kitu kwa milioni tano na wakati kuna uwezekano wa kukipata kwa milioni mbili tena kikiwa na ubora uleule. Kadri siku zinavyokwenda mbele, nabadilisha maisha yangu, sipendi kurundika vitu vingi vya bei kubwa, labda mwingine angeona fahari kumiliki nguo za bei mbaya, kwangu, siwezi kuishi maisha hayo". Alisema Eric Shingongo 

Shingongo anaendelea kusema kuwa hata kama una pesa kiasi gani kumbuka kubana matumizi ya fedha na unapaswa kufanya manunuzi kutokana na uwezo wako.

"Fanya manunuzi kutegemea na uwezo wako usifanye mambo ili uonekane! Tunza fedha hali ni mbaya, unayoitunza iwekeze. Ndugu yangu bana matumizi yako ya fedha na fanya manunuzi ya kawaida hata kama una fedha kiasi gani" alisisitiza Eric Shingongo 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali