Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tutafanya kampeni za kistaarabu na amani-Lowassa

Jumatano , 5th Aug , 2015

Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, ambae pia atawakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi Ukawa Mh. Edward Ngoyai Lowassa amesema watafanya kampeni za kistaarabu na zisizokuwa na matusi kwa nchi nzima.

MWENYEKITI wa CHADEMA Kitaifa, Mh. Freeman Mbowe (wa pili kulia) akiwatambulisha Mgombea wa Urais wa Umoja wa vyama vinne vya upinzani (UKAWA

Akizungumza jana Mara ya Kutangazwa kuwa mgombea rasmi wa Umoja huo pamoja na Mgombea mwenza kutoka CUF aliechukua kado ya CHADEMA ili kutimiza makubaliano ya Umoja huo Lowassa amesema atatembea nchi nzima na kuhakikisha hakutakua na fujo zozote.

Aidha Mh. Lowassa amewashukuru wanachadema kwa imani waliyomuonyesha ya kuweza kumpa nafasi ya kuipeperusha bendera ya chama hicho pamoja na UKAWA na kuahidi kulipa fadhila hizo kwa vitendo pindi atakapochukua Madaraka
-------NEWS CLIP 10AM SWA TZ 1----------
Kwa Upande wake Mgombea Mwenza wa Mh. Edward Lowassa, Juma Haji Duni amesema ameamua kufanya maamuzi magumu ya kujiunga na chama hicho ili kuitoa CCM madarakani huku akiahidi kudumisha Muungano.

Na Mgombea Pekee wa Urais kupitia Umoja huo kwa Upande wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad amesema uamuzi uliofanyika ni wa busara na unapaswa kuungwa mkono na kusema kuwa bado Mwenyekiti wa chama hicho yupo pamoja nao na hajatangaza msimamo wowote wa kujivua Uenyekiti.

HABARI ZAIDI

Bashiri Mohamed (35) Mwenye Koti Jeusi akiwa anafikishwa Mahakamani Ilemela, Jijini Mwanza

Aliyezini na binti yake apandishwa kizimbani

Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi Agustino Senga

Polisi waambiwa kazi yao ni kazi ya Mungu

Kiwanda cha sukari Mtibwa

11 wafariki dunia kiwanda cha Mtibwa

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC Kapenjama ataka uaminifu kwa wakulima Songea

Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Wanahabari wasisitizwa kuzingatia maadili ya kazi

Wilman Kapenjama Ndile, Mkuu wa Wilaya ya Songea

DC atangaza msako kuwaondoa walinzi wazee kazini